Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimpa taarifa
ya utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake
kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara
ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akijadiliana
jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye
mradi wa nyumba za makazi Shangani Mtwara, katika ziara ya NHC mkoa wa
Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Nyumba za makazi za Rahaleo Mtwara zinavyoonekana katika picha hivi sasa.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimweleza
jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye
ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Napupa, Masasi.
Nyumba za gharama nafuu NHC Napupa, Masasi, Mtwara zinavyoonekana kwa sasa.
0 comments:
Post a Comment