Home » » Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Mtwara

Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Mtwara

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimpa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za makazi Shangani Mtwara, katika ziara ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Nyumba za makazi za Rahaleo Mtwara zinavyoonekana katika picha hivi sasa.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimweleza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Napupa, Masasi.
Nyumba za gharama nafuu NHC Napupa, Masasi, Mtwara zinavyoonekana kwa sasa.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mtwara yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa