Ofisa
Mwandamizi Matekelezo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya
Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bw. Frank Kilimba akifanunua jambo kwa Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara Bi. Halima Dendegu, wakati wa maonesho ya Siku ya Bahari
yaliyofanyika mkoani Mtwara hivi karibuni.
Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la SSRA wakichukua vipeperushi mbalimbali vya SSRA katika maonyesho hayo.
Maofisa
wa SSRA wakitoa maelezo kuhusu shughuli mbalimbali za mamlaka hiyo, kwa
wanachi waliohudhuria maonyesho ya Siku ya Bahari mkoani Mtwara.
Maofisa
wa SSRA wakitoa maelezo kuhusu shughuli mbalimbali za mamlaka hiyo, kwa
wanachi waliohudhuria maonesho ya Siku ya Bahari mkoani Mtwara.
Naibu
Waziri wa Miundombinu na Uchukuzi wa Zanzibar, Issa Ussi Gavu
akizungumza wakati alipotembelea banda la SSRA, wakati wa maonesho ya
Siku ya Bahari yaliyofanyika mkoani Mtwara hivi karibuni. Katikati ni
Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dkt. Juma Malik Akil.
Ofisa
Mwandamizi Matekelezo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya
Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bw. Frank Kilimba akimpatia maelezo Makamu wa
Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipotembelea banda la SSRA
katika maonesho ya Siku ya Bahari yaliyofanyika mkoani Mtwara hivi
karibuni.
Makamu
wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimsalimu Ofisa wa SSRA, Ally
Masaninga, wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Usimamizi na
Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), katika maonesho ya Siku ya
Bahari yaliyofanyika mkoani Mtwara hivi karibuni.
(Picha zote na mpigapicha wetu)
0 comments:
Post a Comment