Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimia
wanachama wa CCM mkoa wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsalimia
kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Mtwara.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza
jambo wakati akizungumza na wana CCM wa mkoa wa Mtwara nje ya ofisi za
CCM mkoa.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia
wana CCM wa mkoa wa Mtwara nje ya Ofisi ya CCM mkoa na kuwataka wana CCM
kuwa kitu kimoja na kuimarisha Chama.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara nje ya ofisi za CCM mkoa wa Mtwara
ambapo alifika kusalimia na kusaini vitabu vya wageni.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Fedha Mhe.Mwigulu Nchemba.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana an Katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Ndugu Shaibu Akwilombe.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego akizungumza wananchi
waliojitokeza kwa wingi kumsalimu Mgombea Urais wa CCM Dk.John Pombe
Magufuli aliyefika ofisini hapo kutoa shukrani kwa wadhamini 231
waliomdhamini kwenye nafasi ya Urais mkoa wa Mtwara ikiwa sehemu ya
kutimiza taratibu za Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi
wa Mtwara na kuwaambia Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe
Magufuli atashinda mapema mno.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara Ndugu Mohamed Sinani akihutubia
wakazi wa Mtwara ambapo alihakikisha kuwa Mtwara itaongoza katika
kumpigia kura nyingi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe
Magufuli.
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini Husnain Murji akiwahutubia wana CCM
nje ya ofisi ya CCM Mtwara na kuwaambia kuwa ushindi kwa CCM utakuwa wa
kishindo .
0 comments:
Post a Comment